October 30, 2014


Kikosi cha Yanga, tayari kimetua salama mjini Bukoba tayari kwa mechi yake ya Ligi Kuu Bara dhidi ya wenyeji wake, Kagera Sugar, keshokutwa.

Yanga imetua Bukoba ikitokea mjini Kahama ambako iliweka kambi ya muda na kucheza mechi moja ya kirafi.
Msemaji wa Yanga, Baraka Kizuguto ameiambia SALEHJEMBE kwamba wamefika salama.
“Ni safari ya takribani masaa sita, tunamshukuru Mungu tumefika salama.

“Kwa sasa siwezi kuzungumza mengi, ndiyo tumefika na tunashusha mizigo kwenye gari,” alisema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic