November 1, 2014


Ajabu! Kwa wale waliofuatilia mechi ya Kagera Sugar dhidi ya Yanga kwenye Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba watakuwa wameshuhudia gari la Polisi aina ya Land Rover Defender likikatiza katikati ya uwanja!

Gari hilo lilikuwa na Polisi waliokuwa wameingia uwanjani kuzuia vurugu.

Badara ya askari hao kushuka, gari liliingia katikati ya uwanja bila ya kutambua kuwa huo ni uwanja wa soka.


Wengi waliokuwa wakishuhudia mechi hiyo kupitia Azam TV walionyesha kushangazwa sana na hali hiyo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic