November 27, 2014

IVO
Kipa wa Simba, Ivo Mapunda amewasili mjini Tukuyu kwa ajili ya maandalizi ya mazishi ya mama yake mzazi.

Ivo amefiwa na mama yake ikiwa ni siku chache baada ya kifo cha baba yake mzazi, Phillip Mapunda Februari, mwaka huu.
Awali Ivo aliiambia SALEHJEMBE kwamba yuko njiani akisafiri kwenda Tukuyu kwa ajili ya mazishi.

Blogu hii inatoa pole kwa msiba huo kwa Ivo pamoja na ndugu, jamaa na marafiki.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic