November 9, 2014


Kikosi cha Stand United kimesema kilikuwa ndiyo kimesha moto, lakini kusimama kwa Ligi Kuu Bara kutaiadhiri.


Kocha Msaidizi wa Simba, Bilal ‘Bilo’ amesema ndiyo walikuwa wameanza kupata kasi baada ya kuitungua Mbeya City bao 1-0
“Ndiyo tulikuwa tumeanza kuchanua na kasi yetu ilikuwa imekaa vizuri.
“Sasa ligi imezimama, hii si nzuri sana kwa kuwa baadaye tutalazimika kutafuta kasi upya.
“Hatuna ujanja kwa kuwa hatuwezi kulazimisha na tutalifanyia kazi jambo hili,” alisema Bilo.

Stand yenye udhamini wa Double Star kutoka kampuni ya kuuza matairi na betri za magari ya Bin Slum Tyres Ltd, imepanda Ligi Kuu Bara msimu huu ni kati ya timu ambazo zimekuwa zikionyesha soka la kuvutia.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic