December 3, 2014

Sasa si hadithi tena, hatimaye mshambuliaji wa zamani wa Simba, Betram Mwombeki amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea Ruvu Shooting.

Mwombeki ambaye aliachwa na Simba na baadaye kwenda Oman kufanya majaribio ambako imeelezwa hakufuzu, amesaini kuichezea Ruvu Shooting leo.


Maana yake, mshambuliaji huyo ataanza kuonekana kwenye mechi za Ligi Kuu Bara zitakazoanza tena Desemba 26, mwaka huu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic