December 3, 2014


Kikosi cha Simba kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya vijana.

Mechi hiyo kati ya Simba A dhidi ya Simba B imepigwa kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam, leo.

‘Aliyewaua’ vijana hao ni mshambuliaji Elius Maguri lakini kiungo Omar Mboob raia wa Gambia akawa kivutio.

Mboob alionyesha kuwavutia mashabiki waliojitokeza alipoingia mara ya pili.

Alicheza mara ya kwanza, lakini hakuonekana kuchangamka sana hadi alipoingia katika kipindi cha pili na kufanya vizuri.

Mgambia huyo yuko katika majaribio ya kuichezea Simba.

1 COMMENTS:

  1. Nimpongeze Maguri kwa alichokifanya katika game ya leo! Lakini changamoto iliyo mbele yake ni kubwa na anatakiwa kujipanga zaidi! Naamini Maguli ndiye mshambuliaji bora kwa sasa katika washambuliaji wa ndani, so ujio wa mastriker wa nje umfanye
    kuonesha thamani yake na si kukata tamaa! akiamua anaweza!

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic