January 21, 2015


Uongozi wa CSKA Moscow kupitia mtandao wake umesema bado hauna uhakika kuhusiana na suala la Mbwana Samatta.

Mtandao huo umesema ni mapema kuzungumzia suala la Mtanzania huyo ambaye yuko katika timu hiyo anafanya majaribio.

CSKA imemchukua Samatta ambaye anendelea na mazoezi akiwa na timu nchini Hispania.

“Bado ni mapema, huenda tusimchukue lakini benchi la ufundi lina nafasi ya kuendelea kumuangalia,” ilisema sehemu ya mtandao huo.


Samatta anayekipiga TP Mazembe anawaniwa na zaidi ya timu nne za Ulaya ambazo ziko tayari afanye majaribio.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic