March 22, 2015


Inaonekana mchezaji akitawazwa kuwa mchezaji bora wa dunia na kubeba ile tuzo ya BallonD’or basi uwezo wake wa kufunga unaporomoka.


Ilimtokea Lionel Messi na sasa imemtokea Cristiano Ronaldo.
Kabla ya kutwaa tuzo Messi alipiga bao 33, alipotwaa akafunga 18. Ronaldo kabla, alifunga 33 alipobeba tuzo akafunga nane tu nab ado anahangaika ile mbaya hadi sasa.

Hata hivyo utaona bado inaonekana Messi ndiye mchezaji bora na hatari zaidi katika mchezo wa soka. Hana mpinzani kwa kuwa hata Ronaldo anayechuana naye anaachwa mbali.

Kwa kipindi hiki, Real Madrid wamelazimika kumpa Ronaldo mazoezi maalum ili kurejesha kiwango chake kabla ya mechi ya El Clasico wakiwa ugenini Camp Nou.


WAFUNGAJI BORA KATIKA MICHUANO YOTE MSIMU HUU
Lionel Messi Barcelona 43
Cristiano Ronaldo Real Madrid 41
Alexandre Lacazette Lyon 27 
Harry Kane Tottenham 26 
Neymar Barcelona 26 
Sergio Aguero Man City 23 
Gonzalo HiguainNapoli 23 
Carlos Tevez Juventus 23

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic