Mwanasoka bora wa
dunia, Cristiano Ronaldo atadumu kwa miaka minne ijayo lakini baada ya hapo,
gumzo litakuwa ni kwa Cristiano Junior.
Huyo ni mwanaye wa
kumzaa ambaye tayari anaonyesha ni mwenye kipaji cha ju katika soka.
Junior ameonyesha
mbwembwe zake wakati wakila raha na baba yake katika visiwa vya bahama.
Uwezo wake wa kupiga
pasi, danadana pamoja na mbwembwe zote zinaonyesha mtoto huyo wa staa wa Real
Madrid, atakuja kuwa soo.
MWENYEWE ANGALIA
PICHA.
0 COMMENTS:
Post a Comment