July 14, 2015


Kikosi kizima cha APR kinatarajia kutua nchini kesho saa 4 usiku tayari kwa michuano ya Kombe la Kagame.

Michuano ya Kagame inatarajia kuanza nchini Jumamosi na itafanyika katika viwanja vya Taifa na Karume jijini Dar es Salaam.

Uongozi wa APR umethibitisha kikosi chao kuwa kitawasili saa 4 usiku.


APR ni kati ya timu ambazo zimekuwa zikitoa ushindani mkubwa katika michuano hiyo ambayo inadhaminiwa na shabiki wake namba moja, Rais wa Rwanda, Paul Kagame.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic