MANGALA AKIWA NA MOZGOV. |
Beki wa
kati wa Manchester City, Eliaquim Mangala ni kati ya wachezaji wenye mwili
mkubwa katika kikosi hicho.
Pia ni
kati ya wachezaji wenye miili mikubwa katika Ligi Kuu England. Lakini mkubwa
unapozungumzia Ligi ya Mpira wa Kikapu Marekani (NBA).
Maana
Mangala alikutana na mchezaji wa timu ya Cleveland Cavaliers, Timofey Mozgov.
Dah! Alionekana kama mtoto.
MANGALA (KUSHOTO) AKIWA NA MAN CITY. |
MOZGOV AKIWA NA LEBRON JAMES WAKIWA KAZINI... |
0 COMMENTS:
Post a Comment