August 21, 2015


Kiungo Kipre Bolou anasafirishwa kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya kupata matibabu.


Bolou raia wa Ivory Coast amekuwa majeruhi kwa muda mrefu sasa, hali iliyofanya uongozi wa Azam FC kumpa matibabu zaidi.

Msemaji wa Azam FC, Jaffar Iddi Maganga amesema kiungo huyo atakuwa nchini humo kwa zaidi ya wiki mbili.

“Kweli anakwenda kwa matibabu, inawezaa kuwa wiki mbili au zaidi lakini kikubwa ni suala la matibabu yatakavyokuwa,” alisema.


Bolou ni ndugu wa Kipre Tchetche, mshambuliaji wa Azam FC pia ambaye msimu huu anaonekana kurejea.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic