October 21, 2015


Mshambuliaji wa Stand United, Elius Maguri amezidi kupaa kileleni katika ufungaji bora baada ya kupachika mabao mawili wakati wakiitandika Majimaji kwa mabao 3-0.


Stand imeshinda kwa mabao 3-0 katika mechi ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja Kambarage mjini Shinyanga.

Maguli sasa amefunga mabao hayo mawili na kufikisha mabao nane.


Wachezaji wanaomfuatia wana mabao matano ambao ni Hamisi Kiiza (Simba), Donald Ngoma, Amissi Tambwe (Yanga).

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic