October 21, 2015


Simba imepoteza mechi yake ya pili ya Ligi Kuu Bara ndani ya mechi saba tu.


Simba ilipoteza mechi yake ya kwanza ikicheza mechi yake ya nne ya ligi ilipokutana na mabingwa watetezi Yanga iliyowachapa bao 2-0.

Ikiwa ugenini, Simba imekubali kipigo cha bao 1-0 kutoka kwa wenyeji wake Prisons ya Mbeya ambayo imetoka kupoteza mechi yake kwa kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Stand Unitd.
 

Timu hizo zilimaliza kipindi cha kwanza kwa sare ya bila bao kwenye Uwanja wa Sokoine, lakini Prisons wakafanikiwa kupata bao katika kipindi cha pili kilichotawaliwa na ubabe na tafrani.

KIKOSI SIMBA:
Agban, Hassan Kessy, Mohammed Hussein’Tshabalala’, Isihaka Hassan, Juuko Murishid, Justice Majabvi, Simon Sserunkuma, Awadh Juma, Pape N'dew, Joseph Kimwaga na  Peter Mwalyanzi.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic