December 27, 2016



Kiungo mwenye kasi, Farid Mussa anatarajiwa kuondoka nchini kesho kwenda Hispania.

Mussa anakwenda kujiunga na klabu ya Derpotivo Tennerife ya Hispania.

Awali alikwama kujiunga na timu hiyo kutokana na kuwa na matatizo ya usajili.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic