December 27, 2016


Kocha wa Yanga, George Lwandamina alikuwa kati ya wachezaji wa Mufulila Wanderers ya Zambia.

Inawezekana utafufahia kumuona akiwa uwanjani kama mchezaji. Hii ni moja ya picha akichezea timu za veterani na anaonyesha alivyokuwa anajua kumiliki mpira.


Raia huyo wa Zambia ni kocha wa Yanga aliyechukua nafasi ya Hans van Pluijm.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic