July 14, 2017


Shabiki Bradley Lowery wa Sunderland alipoteza maisha wakati akipambana dhidi ya ugonjwa wa kansa.

Simanzi ilikuwa kubwa kwa mashabiki wa soka England na duniani kote.

Wakati wa safari yake ya mwisho mtoto huyo aliyekuwa ana umri wa miaka sita, mashabiki wengi walionyesha huzuni kubwa akiwemo mshambulizi mkongwe wa Sunderland, Jermain Defoe.

Hiyo ndiyo safari ya mwisho ya Bradley. 








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic