September 1, 2014



Ingawa Arsenal ina uhakika wa asilimia 91 hadi sasa kumnasa Danny Welbeck kutoka Man United lakini kuna mjadala umezuka.
Lakini mjadala mkubwa kwa sasa unaendelea huku wakala wake akisisitiza, bora Arsenal imchukue moja kwa moja.

Wakala wake anaaamini dili la muda mrefu ni bora kuliko muda mfupi kama wanavyotaka Arsenal.
Lakini Kocha Arsene Wenger wa Arsenal tayari anaamini kila kitu kitafanikiwa na anasubiri Welbeck afanyiwe vipimo.
Welbeck analazimika kuondoka Arsenal kwa kuwa ujio wa Ramadel Farcal ambaye anaungana na Robin van Persie na nahodha Wayne Rooney, hakutakuwa na nafasi kwake.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic