Rooney alijiunga na timu hiyo mwishoni mwa
wiki iliopita akitokeaManchester United ambapo amesaini mkataba wa
miaka miliwi Everton baada ya kuitumikia Man U kwa miaka 13, amerejea
katika timu yake zamani ambayo alichezea tangu akiwa kinda.
Nyota huyo wa timu ya taifa England yupo nchini kwa ziara maalum na timu hiyo ambapo ataonekna uwanjani kwa mara ya kwanza akiwa na jezi ya Everton
kwenye uwanja wa huo wa Taifa kabla ya kurejea England kwa ajili ya
kuendelea na maandalizi ya msimu mpya wa EPL na michuano mingine.Rooney anatarajiwa kuwa
hamasa kubwa kwenye mchezo huo wa kesjo ambao unasubiliwa kwa hamu na
mashabiki wa soka nchini pamoja na Afrika Mashariki kwa ujumla.
0 COMMENTS:
Post a Comment