September 22, 2017


Pamoja na Simba kupata sare ya mabao 2-2 dhidi ya Mbao FC, Msemaji wa Simba, Haji Manara amesema mapambano bado yanaendelea.

Manara ameonyesha kutokuwa na hofu na sare waliyipata dhidi ya Mbao FC jana, amesisitiza Simba itaendelea kupambana.


"Simba haijapoteza, tumepata sare na mapambano bado yanaendelea," alisema.

Hata hivyo, baadhi ya mashabiki wa Yanga wamekuwa wakimtania kwamba Simba iliponea chupuchupu.

Katika mechi hiyo kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, jana, Simba walipoteza nafasi nyingi za kufunga mabao.


1 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic