March 11, 2018


Arsenal imezidi kurejeshwa furaha za mashabiki wake baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Watford katika mchezo wa Ligi Kuu England.

Mabao hayo yamefungwa na Mustafi katika dakika ya 8, Aubameyang akifunga dakika ya 59 na msumari wa mwisho ukipigwa na Mkhitaryan.

Ushindi huo sasa unamfanya Kocha Wenger arudishe ila furaha ya mashabiki wa Arsenal, baada ya kutofanya vizuri kwenye mechi za hivi karibuni.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic