March 12, 2021


UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa upo uwezekano mkubwa wa timu hiyo kushiriki mashindano ya African Super League ambayo yanatarajiwa kuanza kufanyika hivi karibuni.

Leo Machi 12 nchini Morocco kulikuwa na uchaguzi wa wa CAF nchini Morocco ambapo Rais mpya amepatikana ambaye ni Patrice Motsepe mmiliki wa Klabu ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini.

Barbara Gonzalez, Mtendaji Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna mpango wa kuanzisha mashindano ya African Super League na yatashirikisha timu 20.

Ikiwa mashindano hayo yataanza kwa Tanzania, Simba itakuwa imepenya jumla kwa kuwa kwa sasa ipo hatua ya 16 bora ya mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Barbara ameandika namna hii kupitia ukurasa wake wa Instagram:"Ulikuwa ni wasaa mzuri kukutana na Rais wa FIFA, Gianni Infantino pembezoni mwa mkutano wa CAF Elections2021. 

"Maandalizi ya kuanza kwa African Super League ambayo itashirikisha vilabu 20 yanaendelea. Tunatarajia kwamba Simba itashiriki hivi karibuni,".

14 COMMENTS:

  1. Hivi ile kesi yake ya kutaka kubakwa Zenji imefikia wapi?

    ReplyDelete
  2. Nani mama yako ndie alitakwa kubakwa?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Dada Barbara pole sana naona swali limekukera sana

      Delete
    2. uto walitaka kubaka mkataba wa morrison. kweli akili yao inafikiria kubaka tu! ndiyo wao walianzisha msamiati penalti ya kubaka, ushindi wa kubaka...kwa kweli akili yao iko huko huko...walichowafanyia makocha na hata huko nyuma wachezaji ni hivyo hivyo wanavyofikiria. ..timu ya ....

      Delete
  3. Hii Simba inahitaji kushindana na timu za hadhi zake sio tunashindana na vitimu kama utopolo

    ReplyDelete
  4. uto wao wanafikiria vitu kama kombe la Mapinduzi...Hivi FA Cup si wanakutana na Prison pale Nelson Mandela?

    ReplyDelete
  5. Senzo atakuwa anajionaje sijui, kazi aliyoiacha mwana mama anatakata tuu kimataifa yeye kadoda matopeni

    ReplyDelete
    Replies
    1. Ha! Ha! Kweli kabisa senzo kaishia umbeya tu kiutendaji ziro

      Delete
  6. Team imara huwa namafanikio imara, team dhaifu Ina mafanikio dahaifu. Hongereni Simba imara napoleni wote wenye viteam vidhaifu na mafanikio dhaifu

    ReplyDelete
  7. afadhali tuondoke kwenye hii ligi,yaani tim yetu haistahili kucheza ligi hii

    ReplyDelete
  8. afadhali tuondoke kwenye hii ligi,yaani tim yetu haistahili kucheza ligi hii

    ReplyDelete
  9. Prisons Fc kawatoa kamasi mikia fc, na bado Elmerek wanakuja kuwafundisha mpira kwa Mkapa, ili mkate rufaa ya point 6 za mezani!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Yanga wanacheza na Prison FA cup sio kwa Mkapa bali ni Nelson Mandela..kuna uwezekano kuwa hata wao Yanga watatolewa kamasi...matumaini ya kufuzu hatua inayofuata kwa Yanga ni ndogo..labda wacheze kama Simba.Je uwezo huo wanao

      Delete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic