December 30, 2018


Hii hapa rekodi ya mechi za Yanga msimu huu, haijapoteza hata mechi moja

Yanga 2-1 Mtibwa Sugar
Yanga 4-3 Stand United
Yanga 1-0 Coastal
Yanga 2-0 Singida
Yanga 0-0 Simba
Yanga 2-0 Mbao Fc
Yanga 3-0 Alliance
Yanga 1-0 Kmc
Yanga 1-0 Lipuli
Yanga 1-1 Ndanda
Yanga 2-1 Mwadui
Yanga 2-1 Kagera
Yanga 3-0 Jkt Tz
Yanga 3 - 1 Prisons
Yanga 2-1 Biashara
Yanga 3-2 Ruvu ST
Yanga 2-1 Mbeya City

2 COMMENTS:

  1. Timu ya kimasikini inayojitambua na majukumu yake ni ushindi tu

    ReplyDelete
  2. mimi ni shabiki wa Simba, lakini ukweli Yanga wanajitambua na wanashinda mechi zao, nawapa hongera. pamoja na kuwa na wakati mgumu kifedha, hawajapoteza mechi, wanaongoza ligi, wametoa droo mara 2 tuu mechi na Simba ambayo kama sio uhodari wa Kakolanya pengine Yanga siku ile wangepigwa mabao mengi na nyingine mechi na Ndanda. Hongereni Yanga mpo serious.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic