February 1, 2019


Kocha wa Yanga Mwinyi Zahera amesema kuwa katika mechi yao ya kombe la Shirikisho la Azam dhidi ya Biashara United imekosa nafasi nyingi ambazo wameshindwa kuzitumia.

Zahera amezungumzia kiwango cha mshambuliaji wake Herieter Makambo kuwa kimerudi nyuma kama hapo awali alivyokuwa akicheza na kufanya vitu vya onyo pindi anapokuwa uwanjani.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic