July 5, 2019

IMEELEZWA kuwa nyota wa kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania ambaye pia ni nahodha, Mbwana Samatta amekuwa dhahabu kwa timu za Ligi Kuu England zikiitaka saini yake.

Mpaka sasa tayari imeelezwa kuna ofa tatu mkononi mwake kwa timu kubwa za England.

Timu hizo ni pamoja na Westham United, Leicester City na Everton ambazo zinahitaji kumpata mfumania nyavu namba moja ndani ya klabu yake ya KRC Genk.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic