August 19, 2019


KOCHA wa Arsenal,Unai Emery ameshauriwa kumteua David Luiz kuwa nahodha mpya wa timu hiyo.

Luiz alijiunga na Arsenal hivi karibuni akitokea Chelsea Kwa ada ya uhamisho ya pauni milioni nane.

Beki wa zamani wa Arsenal, Nigel Winterburn, amesema kuwa Luiz atafaa kuwa nahodha wa Arsenal katika msimu huu wa 2019/20.


 "Nadhani itakuwa uamuzi sahihi kwa Emery kumfanya Luiz kuwa nahodha kwa msimu huu ana sifa za kuwa kiongozi," amesema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic