February 10, 2020

Verified

KOCHA wa timu ya Azam FC ya Dar es Salaam, Aristica Cioaba amechaguliwa kuwa Kocha Bora wa mwezi Januari wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara (VPL) msimu wa 2019/2020.

Cioaba amewashinda makocha wenzake wawili ambao ni Sven Vandenbroeck wa Simba na Malale Hamsini wa Polisi Tanzania alioingia nao fainali.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic