May 19, 2020


KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania, Wilfred Kidau amehojiwa leo na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa Tanzania (Takukuru).

Kidau alionekana akiingia ofisini majira ya saa tatu dk 42 na alitoka saa tano dk 14

Inaelezwa kuwa sababu ya kuitwa Takukuru ni kuhojiwa kutokana na matumizi ya Tsh. Bilioni 1 zilizotolewa kwa ajili ya AFCON 2019 ya vijana.

TFF ilidai kuwa fedha hizo zilizotolewa na Rais Magufuli hazikuingia katika akaunti zao.

2 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic