KESHO Simba itakuwa na kazi ya kusaka ushindi mbele ya Al Ahly ya Misri utakaochezwa Uwanja wa Mkapa majira ya saa 10:00
Hili hapa jeshi linapewa nafasi ya kuanza kesho mbele ya Waarabu wa Misri:- Aishi Manula
Shomari Kapombe
Pascal Wawa
Joash Onyango
Mohamed Hussein
Thadeo Lwanga
Mzamiru Yassin
Clatous Chama
Bernard Morrison
Chris Mugalu
Luis Miquissone
Yaani Bwalya na Kagere nje au watajiunga baadae?
ReplyDeleteMwandishi alijaribu kuwaza/kubashiri kikosi cha kesho, aidha si rahisi kupanga hivyo Darosa na Benchi zima la ufundi wapo vizuri mno kwa mchezo. Hivyo wataongozwa pia na Mungu kupanga kikosi cha Ushindi.
ReplyDeleteSina wasiwasi nahii mechi naamini tutashindatu
ReplyDelete