FT Yanga 1-0 Mtibwa Sugar, Uwanja wa Mkapa.
Yanga wanafanikiwa kusepa na pointi tatu kwa ushindi wa bao moja lililofungwa na Carlos na kuwafanya wafikishe jumla ya pointi 49.
Dakika 5 za nyongeza
Dakika 90 zinakamilika
Dakika ya 79 Yanga wanapeleka mashambulizi kwa Mshery
Dakika ya 73 Gooooool Carinhos
Dakika ya 67 anatoka Riphat Msuya anaingia Haruna Chanongo
Dakika ya 66 Fiston anaingia anatoka Sarpong na Farid Mussa anaingia anatoka Kaseke
Dakika ya 58 Dikson Daud anaokoa mpira kufanya iwe kona
Dakika ya 55, kibendera anaonyesha mpira urushwe kwenda Mtibwa Sugar, mwamuzi wa kati anasema faulo ipigwe kwenda Yanga anapiga Kessy
Dakika ya 53 Mustapha anachezewa faulo
Dakika ya 50 Kaseke anachezewa faulo nje kidogo ya 18
Dakika ya 49 Sarpong on target inaokolewa na Mshery
Dakika ya 46 Makarani off target kwa Shikhalo
Dakika ya 45 Mshery anapeleka mashambulizi kwa ShikhaloKipindi cha pili kimeanza
Kipindi cha kwanza
Uwanja wa Mkapa
Mapumziko, Uwanja wa Mkapa
Yanga 0-0 Mtibwa Sugar
Zinaongezwa dakika 4
Dakika ya 45 Mtibwa Sugar wanapata faulo
Dakika ya 44 Nchimbi anaonyeshwa kadi ya njano kwa kumchezea faulo Kessy
Dakika ya 42 Mshery anaokoa hatari ndani ya 18
Dakika ya 39 Mchezaji wa Mtibwa Sugar anatolewa akiwa amebebwa Kwenye machela
Dakika ya 37 Fei Toto anafanya jaribio nje ya 18 linakwenda juu ya langi
Dakika ya 35 Mshery anaokoa hatari,Yanga wanapiga kona inaokolewa
Dakika ya 29 Mtibwa Sugar wanakosa nafasi ya kufunga
Dakika ya 28 Mshery anapewa huduma ya Kwanza
Dakika ya 25 Fei anachezewa faulo
Dakika ya 24 Mshery anaokoa mashambulizi
Dakika ya 20 Mtibwa Sugar wanapeleka mashambulizi Yanga
Dakika ya 15 Yanga wanapeleka mashambulizi kwa Mtibwa Sugar
Bundle limekata au vipi?mbona hakuna updates hadi mpira umeisha
ReplyDelete