August 8, 2021

9 COMMENTS:

  1. Wamtambulishe mapema la sicyo mnyama atapita nae ( kama kweli ni mchezaji wa maana)

    ReplyDelete
  2. Simba wanapima upatikanaji na fitness ya Fraga la sivyo huyu angekuwa tayari msimbazi. Wachezaji ambao yanga ina urahisi wa kuwapata kiubwete ni kutoka congo tuu.

    ReplyDelete
    Replies
    1. mikia kimenuka huko hamuwezi kushindana na wananchi

      Delete
  3. Mikia wanafuatilia machaguo ya wananchi, wakiachiwa wenyewe watamfuata bomu Fraga

    ReplyDelete
  4. Acheni usimba na uyanga, wachezaji wa Tanzania wamepoteza soko lao, kama hamtaamka soka letu litakufa.

    ReplyDelete
  5. Unajiita timu ya wananchi?wakati mnasajili wageni, vipi wachezaji wetu wa u20?

    ReplyDelete
  6. Yanga bingwa msimu ujao🏃🏃

    ReplyDelete
  7. Hata msimu huu amechukua ubingwa pia,au huna kumbukumbu?

    ReplyDelete
  8. Mikia fc hahaha vp huko manara anasema et aongeze sauti?

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic