August 14, 2021

1 COMMENTS:

  1. Suala la wachezaji 12 wa kigeni limekuja wakati muafaka kwa timu zetu zinazoshiriki mashindano ya Africa. Wanaobeza ongezeko hili la wachezaji wa kigeni wawe weledi zaidi katika kujikita kuwapika kiakili wachezaji wazawa kutobweteka na kuwa wasindikizaji tu. Na sijui ujinga huu watanzania tumeurithi wapi yakujiona inferior kwa wageni?
    Pesa waliopata Yanga na Simba Kwenye mauzo ya wachezaji wao wa kigeni zimeingizia kitu nchi yetu sio Zambia au Congo.

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic