September 29, 2021

 


 


UONGOZI wa Yanga umeweza kuzindua tawi jipya huko Kagera ikiwa ni katika hafla fupi iliyofanyika jana, Septemba 28,

Ni Kaimu Mtendaji Mkuu wa Yanga, Senzo Mbatha ambaye aliongoza na Ofisa Habari wa Yanga, Haji Manara pamoja na mkuu wa msafara, Salim Rupia.

Tawi hilo jipya linaitwa Missenyi lipo wilaya ya Missenyi Mkoa wa Kagera.

Kikosi hicho ambacho kinanolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi leo kina kazi ya kusaka pointi tatu muhimu mbele ya Kagera Sugar.

Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 10:00 jioni, Uwanja wa Kaiataba.


Uzinduzi huo ulihudhuriwa na Wanachama, Wapenzi na Mashabiki wa tawi hilo.

1 COMMENTS:

  1. Yes, kila raia 5, 3 Yanga na 2 wagombewe na timu zingine!

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic