DISMAS TEN AWAPA DONGO SIMBA 'WANABEBWA' Alichokiandika Ofisa Habari wa Yanga, Dismas Ten baada ya Simba kuchapwa 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara huko Kagera dhidi ya Kagera Sugar.
Hivi wewe pia ni msemaji wa Timu? Inaonekana mpira hujui na sijui Yanga wamekupaje hiyo kazi....
ReplyDeleteHivi wewe pia ni msemaji wa Timu? Inaonekana mpira hujui na sijui Yanga wamekupaje hiyo kazi....
ReplyDeleteNauli
ReplyDeletemmmmm vipi huyu.......? Nimemsamehe
ReplyDeleteHuyu hana sifa yoyote ya kuwa Msemaji wa klabu yetu ya Yanga.
ReplyDeleteanatuaibisha hatujawahi kuwa ni mzigo kama huyu takataka!
Ndiyo ni kweli simba wanabebwa , maana hata Dismas ten alitoa mgongo wake kwa kagere na kumbeba
ReplyDeleteKagere alitetema juu ya mgongo wake dismas ten alipokuwa ameibeba simba
ReplyDelete