October 9, 2021

KIM Poulsen, Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema kuwa wanatambua kesho watakuwa na kazi ngumu mbele ya Benin ila wapo tayari.

 Anaamini kwamba utakuwa mchezo wa wazi na mzuri kwa kuwa ule wa awali Stars ilipoteza kwa kufungwa bao 1-0 Uwanja wa Mkapa.Pia wachezaji leo wakiwa nchini Benin walifanya mazoezi ya mwisho kwa ajili ya mchezo wa kesho.

 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic