August 31, 2014



Moja a sifa kubwa ya beki mpya aliyesajiliwa Simba, Shaffih Hassan ni kuokoa mipira ya juu.
Hassan aliyekuwa akikipiga Ashanti ya Ilala, amechukuliwa na Simba ili kuziba nafasi ya Donald Musoti ambaye anaachwa ili asajiliwe Emmanuel Okwi.
Beki huyo yuko vizuri kwa mipira ya juu na Kocha Patrick Phiri atapata nafasi ya kumuona zaidi akiwa naye kambini na kujua nini cha kurekebisha.
Simba iliamua kusajili beki mzalendo ili kumuacha Musoti ambaye alilazimika kumpisha Okwi.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic