February 7, 2015


Kweli Ligi Kuu Bara ngumu, Azam FC na Mbeya City, kila moja ikiwa ugenini imebanwa na kujikuta ikiambulia sare.


Ruvu JKT 1-1 Mbeya City

Bao la JKT limefungwa na Ally Bilal katika kipindi cha kwanza wakati la Mbeya City limefungwa na Kenny Ally aliyesawazisha katika kipindi cha pili.


Polisi 2-2 Azam FC

Mabao ya Azam FC yamefungwa na pacha Kipre Tchetche katika dakika ya 10 na Kipre Bolou.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic