April 14, 2015

Beki wa Real Madrid, Marcelo amewataka mashabiki wa timu hiyo kuondoa hofu kuhusiana na mchezo wa leo usiku.


Real Madrid itakuwa ugenini katika mchezo wake wa kwanza wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya wapinzani wao wakubwa Atletico Madrid.

Marcelona amewaambia mashabiki wao kuwa licha ya kuonekana wanasumbuliwa sana na wapinzani wao hao, wao wanajua watakachokifanya.

“Itakuwa kazi ngumu, lakini tunajua tutakachokifanya. Watuamini,” alisema.


Mechi hiyo inasubiriwa kwa hamu kwa kuwa Real Madrid ndiyo mabingwa, mashabiki wanaingia hofu ya kupoteza ubingwa huo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic