June 28, 2015

Hatimaye mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi amekamilisha ndoto yake ya kufunga ndoa na mpenzi wake wa siku nyingi Frolence Nakalegga .

Sherehe hiyo imefanyika jijini Kampala, Uganda jana kwa Okwi kuhitimisha shughuli hiyo.
Awali Okwi aliwahi kufunga ndoa ya kimila kwa ajili ya kumtambulisha mpenzi wake huyo kwa wazazi wake.

Lakini jana ilikuwa ni funga kazi huku watu mbalimbali wakiwemo maofisa wakubwa wa jeshi wakihudhuria.
Kivutio zaidi kilikuwa ni mpambe wake katika shughuli hiyo kuwa ni mshambuliaji nyota wa zamani wa Yanga, Hamis Kiiza.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic