July 31, 2015


Na Nassor Amour, Zanzibar
Kiungo aliyerejea Simba na kusaini mkataba wa miaka miwili, amejiunga na kikosi chake.


Mwinyi Kazimoto, amejiunga na wenzake wa Simba baada ya kujitambulisha kwenye Uwanja wa Amaan m,jini hapa.

Mwinyi alipata nafasi ya kuzungumza na kocha mkuu, Dlyan Kerr akiwa na wasaidizi wake akiwemo Selemani Matola.

Baada ya hapo, akajumuika na kikosi na kuanza mazoezi.


Kazimoto amejiunga na Simba akitokea Al Markhiya ya Qatar ambayo ilimnunua akitokea Simba.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic