July 31, 2015

Umesikia mastaa kibao ni wabahili, licha ya kupata fedha nyingi lakini wanaishi ili mradu tu.


Waache wafanye hivyo lakini si nyota mpya wa Manchester United, staa Memphis Depay.

Yaani miwani, mabeki madogo mawili, viatu, saa na miwani vinafikia thamani ya Sh milioni 30 ya Tanzania.

Alikuwa amevaa vitu hivyo na kubeba na thamani yake ni pauni 9923 ambayo ukiichenji kwa madafu ya Kikwete, unapata Sh 30,761,300, dah!


Hapo haujahesabu hata senti katika mavazi mengine, mfano vuatu, soksi na nyinginezo. Maana suti aliyovaa ni mali ya klabu yake.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic