November 2, 2016

mjini Mbeya kwenye Uwanja wa Sokoine, leo ni wenyeji Mbeya City Vs Yanga.

Mashabiki wameishaanza kuingia uwanjani mapema kabisa.


Hali ya hewa, iko vizuri. Kijua kinachoangaza vizuri na hakuna atakayelalamika hali mbaya ya hewa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic