November 2, 2016


Simba inaivaa Stand United kwenye Uwanja wake wa nyumbani wa Kambarage mjini Shinyanga.


Mechi hiyo itaanza hivi punde na inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wa soka nchini.

Hali ya hewa katika uwanja huo ipo vizuri, jua kali na mpira utacheza vizuri kabisa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic