![]() |
| Nizar anafumua shuti... |
Yanga
imefanikiwa kupata sare ya bao 1-1 ugenini dhidi ya Mgambo Shooting katika
mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani mjini Tanga, leo.
Mgambo
walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya 42 kupitia kwa Issa Kandulu, bao
lililodumu hadi wakati wa mapumziko.
Yanga
walifanikiwa kupata bao la kusawazisha dakika zikiwa zinayoyoma, bao hilo
lilipatikana katika dakika ya 82 kupitia kwa Simon Msuva.
![]() |
| Benchi... |
Yanga
inaendelea kubaki kileleni ikiwa na pointi 53 wakati Azam FC inayowakimbiza
ikiwa nafasi ya pili ikiwa na pointi 47.
![]() |
| Msuva kazini.. |
![]() |
| Kazi ya wanajeshi.. |
![]() |
| Yanga.. |
KIKOSI
YANGA:
1.Ally
Mustafa 'Barthez'
2.Mbuyu Twite
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub 'Cannavaro'
5.Kelvin Yondani
6.Athuman Idd 'Chuji'
7.Saimon Msuva
8.Frank Domayo
9.Hamis Kiiza
10.Nizar Khalfani
11.David Luhende
Subs:
1.Said Mohamed
2.Shadrack Nsajigwa
3.Nurdin Bakari
4.Salum Telela
5.Haruna Niyonzima
6.Said Bahanuzi
7.Jerson Tegete
2.Mbuyu Twite
3.Oscar Joshua
4.Nadir Haroub 'Cannavaro'
5.Kelvin Yondani
6.Athuman Idd 'Chuji'
7.Saimon Msuva
8.Frank Domayo
9.Hamis Kiiza
10.Nizar Khalfani
11.David Luhende
Subs:
1.Said Mohamed
2.Shadrack Nsajigwa
3.Nurdin Bakari
4.Salum Telela
5.Haruna Niyonzima
6.Said Bahanuzi
7.Jerson Tegete















0 COMMENTS:
Post a Comment