June 13, 2013


MSANII mwingine wa muziki wa kizazi kipya, Langa Kileo, amefariki dunia.
 
Langa amefariki muda mfupi uliopita kwenye hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa hapo  baada kutokana na kusumbuliwa na malaria kali.

Langa ambaye aliwika akiwa na kundi la Wakilisha, anakumbukwa kwa wimbo wake wa Matawi ya Juu.

Siku cha zilizopita msanii Albert Mangwea, alifariki nchini Afrika Kusini na kuzikwa Alhamisi iliyopita mkoani Morogoro.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic