June 6, 2013



 Na Saleh Ally, Freiburg, Ujerumani
Vijana wa Kitanzania wanaofaya mafunzo ya kisasa kupitia FELS Project wamekuwa wakiendelea kufaya vizuri,

Mafunzo ambayo wanafanya yamekuwa ni ya aina mbalimbali yakiwemo yale ambayo ni adimu kufanyika nyumbani.

Chini ya Kocha Alex aliyeshirikiana na Jurgen waliwafundisha namna ya kucheza kwa hisia hali inayomfanya mchezaji kuwa na kasi kwa kuwa mchezo wa soka unaendana na hisia.

Wachezaji hao sita makinda kutoka Tanzania walikuwa wanafunikwa vitambaa usoni na kuruka vifaa maalum ili kuonyesha uwezo wa hisia zao.

Kwamba mchezo wa soka pamoja na kuona lakini zaidi unatakiwa kuhisi haraka ili kuweza kuchukua uamuzi wa haraka unaokuwa na faida kwa timu yako na madhara kwa wapinzani.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic