![]() |
| SUGU (KUSHOTO) AKIWASILI MSIBANI, JAY ANAONEKANA UPANDE WA KULIA.. |
Mama mzazi
wa msanii Joseph Haule maarufu kama Profesa Jay amefariki dunia kutokana na
ajali ya gari.
![]() |
| JAY AKIMPOKEA BABA YAKE MZAZI, MZEE HAULE |
Rosemary
Manjala amefariki jana usiku na taarifa zinaeleza aligongwa na gari aina ya
Toyota Stallet na baadaye kukimbizwa katika hospitali ya Tumbi, Kibaha mkoani
Pwani.
“Baada ya
ajali mama alinipigia simu, nilikuwa mbali na kuna mtu alifika pale. Lakini ajabu
wakaambiwa kwamba alikuwa tayari amepelekwa mochwari, hata mimi sikuamini,”
alisema Jay.
Tayari ndugu
na marafiki wameanza kukusanyika nyumbani kwa Profesa kuanza taratibu za
mazishi na taarifa kamili tutawaletea.
PICHA NA GLADNESS WA GPL
PICHA NA GLADNESS WA GPL










0 COMMENTS:
Post a Comment