Beki mpya we Liverpool, Kolo Toure amemshauri
Luis Suarez abaki katika klabu hiyo ili waanze kubeba mataji msimu ujao.
Beki huyo wa kati wa zamani wa Arsenal
amemuambia Suarez anayewaniwa kwa udi na uvumba na matajiri Real Madrid kwamba
anaweza kubaki Liverpool na wakafanya vizuri ikiwa ni pamoja na kutisha katika
michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Ulaya.
Tayari Toure ameshaanza mazoezi na
kikosi cha Liverpool ikiwa ni siku chache ajiunge nacho akitokea Man City.








0 COMMENTS:
Post a Comment