July 11, 2013



Wachezaji wa Real Madrid wameelezwa kuwa wanaongoza kwa kuchati kwenye mitandao ya kijamii hasa Twitter.

Wachezaji wengi wa Madrid wanaamini ndiyo magwiji kwa Twitter na Instagram na wamekuwa wakichati muda mwingi wanapofika mazoezini.

“Wanatumia muda mwingi kuchati, hasa kabla na baada ya mazoezi. Inaonekana ndiyo magwiji wa Twitter na Instagram,” alisema mmoja watu waliohojiwa katika runinga na El Video ya Hispania.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic