Vyombo mbalimbali
vya Amerika Kusini, vimetafsiri tabasamu la mwanadada Shakira kuwa hajui lolote
kuhusiana na soka pamoja na kuwa na mpenzi mwanasoka.
Shakira alitoa
tabasamu zito wakati Gerard Pique alipolambwa kadi nyekundu katika mechi ya
fainali ya Kombe la Mabara baada ya kumkwatua Neymar.
Lakini Shakira
aliendelea kuwa ni mwenye furaha, hali iliyotafsiriwa huenda mumewe
amepumzishwa tu kwa ‘mazuri’ na ikiwezekana atarudi tena uwanjani.
0 COMMENTS:
Post a Comment